Wednesday, December 9, 2009

wadau lile koloni langu flani la kitanga najiandaa kulioa so kaa mkao wa kula kuja kuhudhuria party ya funga mwaka na comply zitatolewa kwa wale maswa


Em cheki!


wakati smaki anapoliwa jicho watu wanashangaa lakini hapa kama uonavyo paka analiwa miguu kwa sana kama una wale wa kufuga jiandae hakika ni kitoweo fulani bomba!

Mchizi anaandaa andaa mambo flani ya paka


Bibiye anakaangiza mambo flani ya paka


HII HAPA HAPA BONGO NA UNACHOKIONA JAMAA WANAKAMUA MSOSI WA PAKA DUH!


Hapo vipi?


hiyo Golf kama uionavyo kwa nyuma we ntafute nkuonyeshe mzigo.

Hiyo ngoma inauzwa ni GOLF


Wadau hiyo Golf ni ya kiukweli kabisa ina speed 220 na imetembea km chache sana kama vipi nivutie namba +255 715 251 148 halafu sasa bei yake sasa lol!karibu na..........................